Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 32:8 - Swahili Revised Union Version

8 Akasema, Akija Esau kwa kundi la kwanza, akalipiga, kundi litakalosalia litaokoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 akifikiri, “Kama Esau akija na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalosalia litaponyoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 akifikiri, “Kama Esau akija na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalosalia litaponyoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 akifikiri, “Kama Esau akija na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalosalia litaponyoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litanusurika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akasema, Akija Esau kwa kundi la kwanza, akalipiga, kundi litakalosalia litaokoka.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 32:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yakobo akaogopa sana, na kufadhaika sana, akawagawanya watu waliokuwa pamoja naye, na kondoo, na ng'ombe, na ngamia, wawe makundi mawili.


Yakobo akasema, Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu, na Mungu wa baba yangu Isaka, BWANA, uliyeniambia, Rudi uende mpaka nchi yako, na kwa jamaa zako, nami nitakutendea mema;


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo