Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 32:27 - Swahili Revised Union Version

27 Akamwuliza, Jina lako ni nani? Akasema, Yakobo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Naye akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akamjibu, “Yakobo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yule mtu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Ni Yakobo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yule mtu akamuuliza, “Jina lako nani?” Akajibu, “Yakobo.”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 32:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Mungu akamwambia, Jina lako ni Yakobo; hutaitwa tena Yakobo, lakini Israeli litakuwa jina lako. Akamwita jina lake, Israeli.


Na mama yake yule mtoto akasema, Kama BWANA aishivyo, na roho yako iishivyo, sitakuacha. Basi akaondoka, akamfuata.


Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibariki kweli kweli, na kuipanua mipaka yangu, na mkono wako ukawa pamoja nami, nawe ungenilinda nisipatwe na maovu wala madhara! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.


BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.


Na Yakobo alikimbia mpaka Padan-Aramu, Na Israeli alitumika apate mke; Ili apate mke alichunga kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo