Mwanzo 31:7 - Swahili Revised Union Version7 Na baba yenu amenidanganya, akabadili mshahara wangu mara kumi; lakini Mungu hakumwachia anidhuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Hata hivyo yeye amenidanganya na kuubadilisha ujira wangu mara kumi. Lakini Mungu hakumruhusu kunidhuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Hata hivyo yeye amenidanganya na kuubadilisha ujira wangu mara kumi. Lakini Mungu hakumruhusu kunidhuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Hata hivyo yeye amenidanganya na kuubadilisha ujira wangu mara kumi. Lakini Mungu hakumruhusu kunidhuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 lakini baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 hata hivyo baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Na baba yenu amenidanganya, akabadili mshahara wangu mara kumi; lakini Mungu hakumwachia anidhuru. Tazama sura |