Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 30:36 - Swahili Revised Union Version

36 Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akabaki akichunga wanyama wa Labani waliosalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akabaki akichunga wanyama wa Labani waliosalia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akabaki akichunga wanyama wa Labani waliosalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu, naye Yakobo akaendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu kati yake na Yakobo, wakati Yakobo akiendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 30:36
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi akatoa siku ile mbuzi dume walio na milia na madoadoa, na mbuzi wake walio na madoadoa na marakaraka, kila aliye na doa jeupe, na kondoo wote waliokuwa weusi, akawatia mikononi mwa wanawe.


Yakobo akatwaa fito za mlubna mbichi, na mlozi, na mwaramoni, akazibambua maganda, mistari myeupe ionekane ndani ya hizo fito.


Hata siku ya tatu Labani akaambiwa ya kwamba Yakobo amekimbia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo