Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 30:19 - Swahili Revised Union Version

19 Lea akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Lea akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa sita wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Lea akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa sita wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Lea akapata mimba tena na kumzalia Yakobo mtoto wa sita wa kiume.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Lea akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Lea akapata mimba tena akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Lea akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa sita.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 30:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Labani alikuwa na binti wawili, jina la mkubwa ni Lea, na jina la mdogo ni Raheli.


Lea akasema, Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu. Akamwita jina lake Isakari.


Lea akasema, Mungu amenipa mahari njema, sasa mume wangu atakaa nami, kwa kuwa nimemzalia wana sita. Akamwita jina lake Zabuloni.


Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.


Na mpakani mwa Isakari, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Zabuloni, fungu moja.


Na wana wa Zabuloni kwa jamaa zao; wa Seredi, jamaa ya Waseredi; wa Eloni, jamaa ya Waeloni; wa Yaleeli, jamaa ya Wayaleeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo