Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 27:8 - Swahili Revised Union Version

8 Basi, mwanangu, sikiliza sauti yangu kama nitakavyokuagiza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Sasa mwanangu, sikiliza maneno yangu na utii ninayokuagiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Sasa mwanangu, sikiliza maneno yangu na utii ninayokuagiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Sasa mwanangu, sikiliza maneno yangu na utii ninayokuagiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Sasa mwanangu, nisikilize kwa makini na ufanye yale ninayokuambia:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Sasa, mwanangu, nisikilize kwa makini na ufanye yale ninayokuambia:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Basi, mwanangu, sikiliza sauti yangu kama nitakavyokuagiza.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 27:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Mataifa mawili yako tumboni mwako, Na makabila mawili ya watu watafarakana tangu tumboni mwako. Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili, Na mkubwa atamtumikia mdogo.


Mamaye akamwambia, Laana yako na iwe juu yangu, mwanangu, usikie sauti yangu tu, nenda ukaniletee wana-mbuzi.


Na sasa, mwanangu, sikia sauti yangu, uondoke, ukimbilie kwa Labani, ndugu yangu huko Harani;


Niletee mawindo, ukanifanyie chakula kitamu ili nile, na kukubariki mbele za BWANA kabla ya kufa kwangu.


Nenda sasa kundini ukanitwalie wana-mbuzi wawili walio wema, nami nitawafanya chakula kitamu kwa baba yako, namna ile aipendayo.


Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia, Kama ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe;


Petro na mitume wakajibu, wakisema, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.


Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo