Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 26:23 - Swahili Revised Union Version

23 Akapanda kutoka hapo mpaka Beer-sheba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kutoka huko, Isaka alikwenda Beer-sheba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kutoka huko, Isaka alikwenda Beer-sheba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kutoka huko, Isaka alikwenda Beer-sheba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Akapanda kutoka hapo mpaka Beer-sheba.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 26:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Basi Abrahamu akawarudia vijana wake, wakaondoka, wakaenda zao pamoja mpaka Beer-sheba; Abrahamu akakaa huko Beer-sheba.


Yakobo akatoka Beer-sheba, kwenda Harani.


Israeli Akasafiri, pamoja na yote aliyokuwa nayo, akaja Beer-sheba, akamchinjia sadaka Mungu wa Isaka babaye.


bali msitafute Betheli, wala msiingie Gilgali, wala msipite kwenda Beer-sheba; kwani Gilgali hakika yake itakwenda utumwani, na Betheli itakuwa ubatili.


Ndipo wana wa Israeli walipotoka; na mkutano ukakutanika kama mtu mmoja, kutoka Dani hadi Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi wakamkutanikia BWANA huko Mispa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo