Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 26:11 - Swahili Revised Union Version

11 Basi Abimeleki akawaamuru watu wote, akisema, Amgusaye mtu huyu au mkewe lazima atauawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndipo Abimeleki akawaonya watu wote akisema, “Yeyote atakayemgusa mtu huyu au mke wake, atauawa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndipo Abimeleki akawaonya watu wote akisema, “Yeyote atakayemgusa mtu huyu au mke wake, atauawa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndipo Abimeleki akawaonya watu wote akisema, “Yeyote atakayemgusa mtu huyu au mke wake, atauawa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Basi Abimeleki akawaamuru watu wote, akisema, Amgusaye mtu huyu au mkewe lazima atauawa.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 26:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akamwambia katika ndoto, Nami nimejua ya kwamba kwa ukamilifu wa moyo wako umefanya hivi, ndipo nami nikakuzuia usinitendee dhambi, kwa hiyo sikukuacha umguse.


Mwaka huo Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, naye akapata mavuno mara mia zaidi. BWANA akambariki.


Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.


Ndivyo alivyo aingiaye kwa mke wa jirani yake; Kila mtu amgusaye huyo atakuwa na hatia.


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo