Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 23:5 - Swahili Revised Union Version

5 Wazawa wa Hethi wakamjibu Abrahamu, wakamwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Wahiti wakamjibu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Wahiti wakamjibu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Wahiti wakamjibu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wahiti wakamjibu Ibrahimu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wahiti wakamjibu Ibrahimu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Wazawa wa Hethi wakamjibu Abrahamu, wakamwambia,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 23:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,


Akaondoka Abrahamu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wazawa wa Hethi, akinena,


Mimi ni mgeni, ninatembea kwenu; nipeni mahali pa kuzikia kwenu, pawe pangu, nimzike maiti wangu atoke mbele yangu.


Utusikie, Ee bwana, ndiwe mtu mkuu sana kwetu, uzike maiti wako katika kaburi lile utakalochagua katika makaburi yetu. Hapana mtu kwetu atakayekuzuilia kaburi lake, usizike maiti wako.


Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;


Lakini alimwinua mhitaji juu mbali na mateso, Na kuwaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo