Mwanzo 20:4 - Swahili Revised Union Version4 Basi Abimeleki alikuwa hakumkaribia, akasema, Ee Bwana, Je! Utaua hata taifa lenye haki? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Abimeleki ambaye bado hakuwa amelala na Sara, akajibu, “Bwana, utawaua watu wasio na hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Abimeleki ambaye bado hakuwa amelala na Sara, akajibu, “Bwana, utawaua watu wasio na hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Abimeleki ambaye bado hakuwa amelala na Sara, akajibu, “Bwana, utawaua watu wasio na hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Basi Abimeleki alikuwa hakumkaribia, akasema, Ee Bwana, Je! Utaua hata taifa lenye haki? Tazama sura |