Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 20:10 - Swahili Revised Union Version

10 Abimeleki akamwambia Abrahamu, Umeona nini hata ukatenda jambo hili?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Tena Abimeleki akazidi kumwuliza, “Ni kitu gani kimekusukuma kufanya hivyo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Tena Abimeleki akazidi kumwuliza, “Ni kitu gani kimekusukuma kufanya hivyo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Tena Abimeleki akazidi kumwuliza, “Ni kitu gani kimekusukuma kufanya hivyo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Abimeleki akamuuliza Ibrahimu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Abimeleki akamuuliza Ibrahimu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Abimeleki akamwambia Abrahamu, Umeona nini hata ukatenda jambo hili?

Tazama sura Nakili




Mwanzo 20:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Farao akamwita Abramu, akasema, Ni nini hili ulilonitenda? Mbona hukuniambia ya kuwa huyo ni mkeo?


Abrahamu akasema, Kwa kuwa niliona, hakika hapana hofu ya Mungu mahali hapa, nao wataniua kwa ajili ya mke wangu.


Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu, akamwambia, Umetutenda nini? Nimekukosa nini, hata ukaleta juu yangu na juu ya ufalme wangu dhambi kuu? Umenitenda matendo yasiyotendeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo