Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 2:25 - Swahili Revised Union Version

25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Adamu na mkewe wote walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 2:25
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafumbuliwa macho wote wawili wakajitambua kuwa wako uchi, wakashona majani ya mtini, na kujifanyia mavazi ya kusitiri uchi wao.


Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja; Wataaibika watendao uhaini bila sababu.


Ee BWANA, nisiaibishwe, maana nimekuita; Waaibishwe wasio haki, wanyamaze kuzimuni.


Basi Musa alipoona ya kuwa watu hawa wameasi, maana Haruni amewaacha waasi, na kuwa dhihaka kati ya adui zao,


Wachongao sanamu, wote ni ubatili; wala mambo yao yawapendezayo hayatafaa kitu; wala mashahidi wao wenyewe hawaoni, wala hawajui; ili watahayarike.


Uchi wako utafunuliwa, Naam, aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; simkubali mtu yeyote.


Usiogope; maana hutatahayarika; wala usifadhaike; maana hutaaibishwa; kwa kuwa utaisahau aibu ya ujana wako, pia masuto ya ujane wako hutayakumbuka tena.


Ee BWANA, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha BWANA, kisima cha maji yaliyo hai.


Je! Walitahayarika, walipokuwa wameunda machukizo? La, hawakutahayarika hata kidogo, wala hawakuweza kuona haya usoni; basi, wataanguka miongoni mwa hao waangukao; wakati nitakapowajia wataangushwa chini, asema BWANA.


Hapo ndipo utakapozikumbuka njia zako, na kutahayarika, hapo utakapowakaribisha dada zako, walio wakubwa wako na wadogo wako; nami nitakupa hao wawe binti zako, lakini si kwa agano lako.


Nanyi mtakula chakula tele na kushiba, na kulihimidi jina la BWANA, Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya ajabu; na watu wangu hawatatahayari kamwe.


Maana kila mtu atakayenionea haya mimi, na maneno yangu, katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi, Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.


Kwa sababu kila atakayenionea haya mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo, atakapokuja katika utukufu wake na wa Baba na wa malaika watakatifu.


Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo