Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 19:36 - Swahili Revised Union Version

36 Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Hivyo, binti wote wawili wa Loti wakapata mimba kutokana na baba yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Hivyo, binti wote wawili wa Loti wakapata mimba kutokana na baba yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Hivyo, binti wote wawili wa Loti wakapata mimba kutokana na baba yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Hivyo binti wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Hivyo binti wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 19:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.


Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.


Tazama, ninao binti wawili ambao hawajajua mwanamume, nawasihi nitawatolea kwenu mkawafanyie vilivyo vyema machoni penu, ila watu hawa msiwatende neno, kwa kuwa wamekuja chini ya dari yangu.


Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!


Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.


BWANA akaniambia, Usiwasumbue Wamoabi, wala usishindane nao katika mapigano; kwa kuwa sitakupa katika nchi yake kuimiliki; kwa sababu Ari nimewapa wana wa Lutu kuimiliki.


Adoni-bezeki akasema, Wafalme sabini, waliokuwa wamekatwa vidole vyao vya gumba vya mikono na vya miguu, waliokota chakula chao chini ya meza yangu; kama nilivyofanya mimi, Mungu amenilipa vivyo hivyo. Wakamleta Yerusalemu naye akafa kuko.


Lakini Samweli akamjibu, Kama upanga wako ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto wao, vivyo hivyo mama yako atafiwa miongoni mwa wanawake. Basi Samweli akamkata Agagi vipande mbele za BWANA huko Gilgali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo