Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 17:4 - Swahili Revised Union Version

4 Hili ndilo agano langu nawe, utakuwa baba wa mataifa mengi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 “Ninafanya agano hili nawe: Utakuwa baba wa mataifa mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 “Ninafanya agano hili nawe: Utakuwa baba wa mataifa mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 “Ninafanya agano hili nawe: Utakuwa baba wa mataifa mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 “Kwangu mimi, hili ndilo agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 “Kwa upande wangu, hili ndilo Agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Hili ndilo agano langu nawe, utakuwa baba wa mataifa mengi,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 17:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;


Na uzao wako nitaufanya uwe kama mavumbi ya nchi; ikiwa mtu ataweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, uzao wako nao utahesabika.


Malaika wa BWANA akamwambia, Hakika nitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika kwa jinsi utakavyokuwa mwingi.


katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki lango la adui zao;


BWANA akamwambia, Mataifa mawili yako tumboni mwako, Na makabila mawili ya watu watafarakana tangu tumboni mwako. Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili, Na mkubwa atamtumikia mdogo.


Na Mungu Mwenyezi, akubariki, akuzidishe, na kukuongeza, ili uwe mtu wa watu wengi.


Nawe ulisema, Hakika nitakutendea mema, nami nitafanya uzao wako uwe kama mchanga wa bahari, usiohesabika kwa kuwa mwingi.


Mungu akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uzidi ukaongezeke. Taifa na kundi la mataifa watatoka kwako, na wafalme watatoka katika uzao wako.


Babaye akakataa, akasema, Najua, mwanangu najua, yeye naye atakuwa taifa, yeye naye atakuwa mkuu; lakini ndugu yake mdogo atakuwa mkubwa kuliko yeye, na uzao wake watakuwa mataifa mengi


Tena nimelithibitisha agano langu nao, la kuwapa nchi ya Kanaani; nchi ya waliyokaa kama wageni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo