Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 17:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mtatahiriwa kwa kukata magovi yenu, na hii itakuwa ndiyo alama ya agano kati yangu nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mtatahiriwa kwa kukata magovi yenu, na hii itakuwa ndiyo alama ya agano kati yangu nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mtatahiriwa kwa kukata magovi yenu, na hii itakuwa ndiyo alama ya agano kati yangu nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mtatahiriwa, na hii itakuwa ni alama ya agano kati yangu na ninyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 17:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano nifanyalo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, kwa vizazi vyote hata milele;


Basi Daudi akatuma wajumbe kwa Ishboshethi, mwana wa Sauli, kusema, Nipe mke wangu Mikali, niliyemposa kwa govi mia moja za Wafilisti.


Na mgeni atakapoketi pamoja nawe, na kupenda kumfanyia BWANA Pasaka, wanaume wake wote watahiriwe, ndipo hapo akaribie na kufanya Pasaka; naye atakuwa mfano mmoja na mtu aliyezaliwa katika nchi; lakini mtu yeyote asiyetahiriwa asimle.


Ndipo Sipora akashika jiwe gumu lenye makali na kulikata govi ya zunga la mwanawe, na kulibwaga miguuni pa Musa akasema. Hakika wewe ni bwana arusi wa damu kwangu.


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.


Naye aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, mhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo kabla hajatahiriwa; apate kuwa baba yao wote waaminio, ijapokuwa hawakutahiriwa, ili na wao pia wahesabiwe haki;


Basi, zitahirini govi za mioyo yenu, wala msiwe na shingo ngumu.


Basi Yoshua akajifanyia visu vya mawe ya gumegume, akawatahiri wana wa Israeli huko Gibea-haaralothi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo