Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 13:2 - Swahili Revised Union Version

2 Naye Abramu alikuwa tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Wakati huo, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na mifugo, fedha na dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Wakati huo, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na mifugo, fedha na dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Wakati huo, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na mifugo, fedha na dhahabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Naye Abramu alikuwa tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 13:2
17 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akamtendea Abramu mema kwa ajili yake; naye alikuwa na kondoo na ng'ombe, na punda dume, na watumwa, na wajakazi, na punda majike, na ngamia.


Na ile nchi haikuwatosha, ili wakae pamoja; maana mali zao zilikuwa nyingi, hata wasiweze kukaa pamoja.


Basi Abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, na BWANA alikuwa amembariki Abrahamu katika vitu vyote.


na BWANA amembarikia sana bwana wangu, amekuwa mtu mkuu; amempa kondoo, na ng'ombe, na fedha, na dhahabu, na watumishi, na wajakazi, na ngamia, na punda.


Akawa na mali ya kondoo, na mali ya ng'ombe, na watumwa wengi. Hao Wafilisti wakamhusudu.


Kwa hiyo mtu huyo akazidi mno, akawa na wanyama wengi, na vijakazi, na watumwa, na ngamia, na punda.


Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi.


Mali yake nayo ilikuwa ni kondoo elfu saba, na ngamia elfu tatu, na jozi za ng'ombe mia tano, na punda wake mia tano, na watumishi wengi sana; basi hivi mtu huyo alikuwa ni mkuu sana kuliko watu wote wa upande wa mashariki.


Baraka ya BWANA hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.


Maana, mazoezi ya viungo vya mwili yana manufaa kidogo, lakini utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye.


BWANA hufukarisha mtu, na hutajirisha; Hushusha chini, tena huinua juu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo