Mwanzo 10:25 - Swahili Revised Union Version25 Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Eberi alikuwa na watoto wa kiume wawili; wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati huo watu duniani waligawanyika, na wa pili akamwita Yoktani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Eberi alikuwa na watoto wa kiume wawili; wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati huo watu duniani waligawanyika, na wa pili akamwita Yoktani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Eberi alikuwa na watoto wa kiume wawili: wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati huo watu duniani waligawanyika, na wa pili akamwita Yoktani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani. Tazama sura |