Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:20 - Swahili Revised Union Version

20 Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Hao ndio wazawa wa Hamu kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Hao ndio wazawa wa Hamu kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Hao ndio wazawa wa Hamu kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana.


Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo