Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:18 - Swahili Revised Union Version

18 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye watu wa jamii mbalimbali za Kanaani walitawanyika,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye watu wa jamii mbalimbali za Kanaani walitawanyika,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye watu wa jamii mbalimbali za Kanaani walitawanyika,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. (Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

na Mhivi, na Mwarki, na Msini,


Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Na Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia ya kwamba Daudi amewapiga jeshi lote la Hadadezeri,


Naye mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babeli, na Kutha, na Ava, na Hamathi, na Sefarvaimu, akawaweka katika miji ya Samaria badala ya wana wa Israeli; wakaumiliki Samaria, wakakaa katika miji yake.


Watu wa Babeli wakafanya Sukoth-benothi kuwa mungu wao, watu wa Kutha wakafanya Nergali, watu wa Hamathi wakafanya Ashima,


na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.


Basi Abiya akasimama juu ya kilima cha Semaraimu, kilichoko milimani mwa Efraimu, akasema, Nisikieni, enyi Yeroboamu na Israeli wote;


Je! Kalno si kama Karkemishi? Hamathi si kama Arpadi? Samaria si kama Dameski?


Wakaao Sidoni na Arvadi ndio waliovuta makasia yako; wana wako wenye akili, Ee Tiro, walikuwa ndani yako, ndio waliokuwa rubani zako.


na Hamathi pia iliyo mpakani mwake; na Tiro, na Sidoni, kwa maana ana akili nyingi.


na kutoka mlima wa Hori mtaweka alama hadi Hamathi; na kutokea kwake mpaka hadi hapo Sedada;


na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;


Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo