Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mika 5:14 - Swahili Revised Union Version

14 Nami nitayang'oa maashera yenu, yasiwe kati yako; nami nitaiangamiza miji yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Nitazing'oa sanamu za Ashera kutoka kwenu, na kuiangamiza miji yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Nitazing'oa sanamu za Ashera kutoka kwenu, na kuiangamiza miji yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kwa hasira na ghadhabu yangu, nitalipiza kisasi mataifa yote yasiyonitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Nitang’oa nguzo za Ashera kati yenu, na kubomoa miji yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Nitang’oa nguzo za Ashera katikati yenu na kubomoa miji yenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Nami nitayang'oa maashera yenu, yasiwe kati yako; nami nitaiangamiza miji yako.

Tazama sura Nakili




Mika 5:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakajisimamishia nguzo na maashera juu ya kila mlima mrefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi;


Ili kufanya kisasi juu ya mataifa, Na adhabu juu ya makabila ya watu.


Kuwafanyia hukumu iliyoandikwa; Hiyo ndiyo heshima ya watauwa wake wote. Haleluya.


Bali utabomoa madhabahu zao, na kuvunjavunja nguzo zao, na kuyakatakata maashera yao.


Wala hataziangalia madhabahu, kazi ya mikono yake; wala hatavitazama vilivyofanyika kwa vidole vyake, maashera na sanamu za jua.


Basi, uovu wa Yakobo utatakaswa hivyo, na hayo ndiyo matunda yote ya kumwondolea dhambi yake; afanyapo mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa, hata maashera na sanamu za jua havitasimama tena.


Bali, kama hawataki kusikia, kung'oa nitaling'oa taifa lile, na kuliangamiza kabisa, asema BWANA.


Bwana ameyameza makao yote ya Yakobo, Wala hakuona huruma; Ameziangusha ngome za binti Yuda Katika ghadhabu yake; Amezibomoa hata nchi Ameunajisi ufalme na wakuu wake.


Tena BWANA ametoa amri katika habari zako, ya kwamba asiwepo tena mtu awaye yote mwenye jina lako; toka nyumba ya miungu yako nitakatilia mbali sanamu ya kuchora, na sanamu ya kuyeyusha; nitakufanyia kaburi lako; kwa maana u mbovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo