Mhubiri 9:4 - Swahili Revised Union Version4 Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Lakini anayeambatana na walio hai analo bado tumaini, afadhali mbwa hai kuliko simba mfu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Lakini anayeambatana na walio hai analo bado tumaini, afadhali mbwa hai kuliko simba mfu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Lakini anayeambatana na walio hai analo bado tumaini, afadhali mbwa hai kuliko simba mfu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Yeyote aliye miongoni mwa walio hai analo tumaini, hata mbwa hai ni bora kuliko simba aliyekufa! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Yeyote aliye miongoni mwa walio hai analo tumaini, hata mbwa hai ni bora kuliko simba aliyekufa! Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa; Tazama sura |