Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 9:4 - Swahili Revised Union Version

4 Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Lakini anayeambatana na walio hai analo bado tumaini, afadhali mbwa hai kuliko simba mfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Lakini anayeambatana na walio hai analo bado tumaini, afadhali mbwa hai kuliko simba mfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Lakini anayeambatana na walio hai analo bado tumaini, afadhali mbwa hai kuliko simba mfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Yeyote aliye miongoni mwa walio hai analo tumaini, hata mbwa hai ni bora kuliko simba aliyekufa!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Yeyote aliye miongoni mwa walio hai analo tumaini, hata mbwa hai ni bora kuliko simba aliyekufa!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 9:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana tuzo tena; maana hata kumbukumbu lao limesahauliwa.


Kwa kuwa kuzimu hakuwezi kukusifu; mauti haiwezi kukuadhimisha; Wale washukao shimoni hawawezi kuutumainia uaminifu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo