Mhubiri 8:7 - Swahili Revised Union Version7 kwa kuwa hajui yatakayokuwako; kwa maana ni nani awezaye kumweleza jinsi yatakavyokuwa? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Hajui ni nini kitakachotukia baadaye, kwani nani awezaye kumjulisha yatakayotukia baadaye? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Hajui ni nini kitakachotukia baadaye, kwani nani awezaye kumjulisha yatakayotukia baadaye? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 hajui ni nini kitakachotukia baadaye, kwani nani awezaye kumjulisha yatakayotukia baadaye? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa vile hakuna mtu ajuaye siku zijazo, ni nani awezaye kumwambia linalokuja? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa vile hakuna mtu ajuaye siku zijazo, ni nani awezaye kumwambia linalokuja? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 kwa kuwa hajui yatakayokuwako; kwa maana ni nani awezaye kumweleza jinsi yatakavyokuwa? Tazama sura |