Mhubiri 7:18 - Swahili Revised Union Version18 Ni vizuri kwamba ulishike neno hilo; naam, hata kwa neno hilo tena usiuondoe mkono wako; kwa kuwa mtu yule amchaye Mungu atatoka katika hayo yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Inakupasa ushike la kwanza na la pili pia; maana anayemtii Mungu atajengwa kwayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Ni vyema kushika hilo moja na wala usiache hilo jingine likupite. Mtu amchaye Mungu ataepuka huko kupita kiasi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ni vyema kushika hilo moja na wala usiache hilo jingine likupite. Mtu amchaye Mungu ataepuka huko kupita kiasi Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Ni vizuri kwamba ulishike neno hilo; naam, hata kwa neno hilo tena usiuondoe mkono wako; kwa kuwa mtu yule amchaye Mungu atatoka katika hayo yote. Tazama sura |