Mhubiri 7:13 - Swahili Revised Union Version13 Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Tafakarini vema kazi yake Mungu; ni nani awezaye kunyosha alichopinda Mungu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Tafakarini vema kazi yake Mungu; ni nani awezaye kunyosha alichopinda Mungu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Tafakarini vema kazi yake Mungu; ni nani awezaye kunyosha alichopinda Mungu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Tafakari kile Mungu alichokitenda: Nani awezaye kunyoosha kile ambacho yeye amekipinda? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Tafakari kile Mungu alichokitenda: Nani awezaye kunyoosha kile ambacho yeye amekipinda? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Tafakari vema kazi yake Mungu; kwa sababu ni nani awezaye kukinyosha kitu kile alichokipotosha yeye? Tazama sura |