Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 6:5 - Swahili Revised Union Version

5 tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Zaidi ya hayo, mtoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwanga wa jua wala kutambua chochote. Hata hivyo, huyo mtoto angalau hupata pumziko ambapo yule mtu hapati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Zaidi ya hayo, mtoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwanga wa jua wala kutambua chochote. Hata hivyo, huyo mtoto angalau hupata pumziko ambapo yule mtu hapati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Zaidi ya hayo, mtoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwanga wa jua wala kutambua chochote. Hata hivyo, huyo mtoto angalau hupata pumziko ambapo yule mtu hapati.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko kuliko mtu huyo:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko zaidi kuliko mtu huyo,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 6:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.


Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


naam, zaidi ya hao wote nikamwita heri yeye asiyekuwako bado, ambaye hakuyaona mabaya yanayotendeka chini ya jua.


yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;


naam, ajapoishi miaka elfu mara mbili, asijiburudishe kwa mema; je! Wote hawaendi mahali pamoja?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo