Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 5:9 - Swahili Revised Union Version

9 Lakini, pamoja na hayo, manufaa ya nchi kwa kila njia ni mfalme anayejibidiisha kwa ajili ya shamba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hata hivyo, mfalme akijishughulisha na kilimo ni manufaa kwa wananchi wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hata hivyo, mfalme akijishughulisha na kilimo ni manufaa kwa wananchi wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hata hivyo, mfalme akijishughulisha na kilimo ni manufaa kwa wananchi wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Lakini, pamoja na hayo, manufaa ya nchi kwa kila njia ni mfalme anayejibidiisha kwa ajili ya shamba.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 5:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amewapa wanadamu.


Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Apendaye fedha hatashiba fedha, Wala apendaye wingi hatashiba nyongeza. Hayo pia ni ubatili.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


Juhudi zote za binadamu ni kwa kinywa chake, Lakini hamu yake haitosheleki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo