Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 3:6 - Swahili Revised Union Version

6 Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza; Wakati wa kuweka, na wakati wa kutupa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza, wakati wa kuweka na wakati wa kutupa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza, wakati wa kuweka na wakati wa kutupa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza; Wakati wa kuweka, na wakati wa kutupa;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 3:6
22 Marejeleo ya Msalaba  

Akachukua wanyama wake wote, na mali yake yote aliyokuwa amepata, na wanyama aliowapata katika Padan-aramu, ili afike kwa Isaka babaye katika nchi ya Kanaani.


Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng'ombe, na watumwa, na wajakazi?


Wakawafuata mpaka Yordani; na kumbe! Njia yote ilikuwa imejaa mavazi na vyombo, walivyovitupa Washami, wapate kukimbia upesi. Watu wale waliotumwa wakarudi, wakamwambia mfalme.


Basi Hazaeli akaenda kumlaki, akachukua zawadi mkononi mwake, za kila kitu chema kilichopatikana Dameski, kiasi cha mizigo ya ngamia arubaini, akaenda, akasimama mbele yake akasema, Mwana wako Ben-hadadi, mfalme wa Shamu, amenituma kwako, kusema, Je nitapona ugonjwa huu?


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Tupa chakula chako juu ya maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi.


Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;


Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona; Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena;


Siku hiyo kila mtu atazitupilia mbali sanamu zake za fedha, na sanamu zake za dhahabu, walizojitengenezea ili kuziabudu, kwa fuko na popo;


Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu akamwomba mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili kuupunguza uzito wake. Lakini Yona alikuwa ameshuka hadi pande za ndani za merikebu; akajilaza, akapata usingizi.


Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.


Siku ya tatu wakatupa vyombo vya merikebu kwa mikono yao wenyewe.


Walipokwisha kushiba wakaipunguza shehena ya merikebu, wakiitupa ngano baharini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo