Mhubiri 2:22 - Swahili Revised Union Version22 Kwa maana mtu hupata nini kwa kazi yake yote, na kwa juhudi ya moyo wake alivyojitahidi chini ya jua? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Mtu anafaidi nini kutokana na kazi zake zote, na juhudi anazohangaika nazo duniani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Mtu anafaidi nini kutokana na kazi zake zote, na juhudi anazohangaika nazo duniani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Mtu anafaidi nini kutokana na kazi zake zote, na juhudi anazohangaika nazo duniani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Mtu atapata nini kwa taabu yote na kuhangaika kwa bidii katika kazi anayotaabikia chini ya jua? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Mtu atapata nini kwa taabu yote na kuhangaika kwa bidii katika kazi anayotaabikia chini ya jua? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 Kwa maana mtu hupata nini kwa kazi yake yote, na kwa juhudi ya moyo wake alivyojitahidi chini ya jua? Tazama sura |