Mhubiri 2:20 - Swahili Revised Union Version20 Kwa hiyo nikageuka kukata tamaa moyoni mwangu juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Basi, nilipofikiria tena juu ya yote niliyofanya duniani, nilikata tamaa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Basi, nilipofikiria tena juu ya yote niliyofanya duniani, nilikata tamaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Basi, nilipofikiria tena juu ya yote niliyofanya duniani, nilikata tamaa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi yangu yote niliyoifanya kwa taabu chini ya jua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi yangu yote niliyoifanya kwa taabu chini ya jua. Tazama sura |