Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 2:20 - Swahili Revised Union Version

20 Kwa hiyo nikageuka kukata tamaa moyoni mwangu juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Basi, nilipofikiria tena juu ya yote niliyofanya duniani, nilikata tamaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Basi, nilipofikiria tena juu ya yote niliyofanya duniani, nilikata tamaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Basi, nilipofikiria tena juu ya yote niliyofanya duniani, nilikata tamaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi yangu yote niliyoifanya kwa taabu chini ya jua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi yangu yote niliyoifanya kwa taabu chini ya jua.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 2:20
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.


Naye ni nani ajuaye kama huyo atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Hata hivyo atatawala juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo, ambamo ndani yake mimi nimeonesha hekima chini ya jua. Hayo nayo ni ubatili.


Maana kuna mtu ambaye kazi yake ni kwa hekima, na kwa maarifa, na kwa ustadi; naye atamwachia mtu asiyeshughulika nayo kuwa sehemu yake. Hayo tena ni ubatili, nayo ni baa kuu.


Kama tumemtumaini Kristo katika maisha haya tu, sisi tu watu wa kusikitikiwa ziadi kuliko watu wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo