Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 30:28 - Swahili Revised Union Version

28 Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 mjusi: Waweza kumshika mkononi, lakini huingia katika ikulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 mjusi: Waweza kumshika mkononi, lakini huingia katika ikulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 mjusi: waweza kumshika mkononi, lakini huingia katika ikulu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, hata hivyo huonekana katika majumba ya wafalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, hata hivyo huonekana katika majumba ya kifalme.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme.

Tazama sura Nakili




Methali 30:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nzige hawana mfalme; Lakini huenda wote pamoja vikosi vikosi.


Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza, Naam, wanne walio na mwendo mzuri.


Miongoni mwa viumbe watambaao juu ya nchi, hawa ni najisi kwenu; kicheche, panya na mjombakaka kwa aina zake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo