Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 30:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, naam, mambo manne nisiyoyaelewa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, naam, mambo manne nisiyoyaelewa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, naam, mambo manne nisiyoyaelewa:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana, naam, vinne nisivyovielewa:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana, naam, vinne nisivyovielewa:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu.

Tazama sura Nakili




Methali 30:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani huyu afichaye ushauri bila maarifa? Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu, Mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.


Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mimi, Hayadirikiki, siwezi kuyafikia.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo