Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu.

Tazama sura Nakili




Methali 26:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi yule Hathaki akatoka nje kumwendea Mordekai kwenye uwanda wa mji ulipo mbele ya mlango wa mfalme.


Basi Hathaki akaja, akamwambia Esta maneno ya Mordekai.


Wasio haki hutembea pande zote, Huku ufisadi ukitukuka kati ya wanadamu.


Anayedharau waovu Machoni pake, Bali huwaheshimu wamchao BWANA Aliyeapa ingawa kwa hasara yake, Hayabadili maneno yake.


Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote.


Maneno mazuri hayapendezi kinywani mwa mpumbavu; Sembuse midomo ya uongo kinywani mwa mkuu.


Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.


Kama mfuko wa vito katika chungu ya mawe; Kadhalika mtu amheshimuye mpumbavu.


Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana; Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.


lakini ikiwa basi moto na utoke katika Abimeleki na kuwateketeza watu wa Shekemu, na jamaa ya Milo; kisha moto na utoke katika hao watu wa Shekemu, na katika jamaa ya Milo, na kumteketeza Abimeleki.


Kisha walipomwambia huyo Yothamu, yeye akaenda, akasimama juu ya kilele cha kilima cha Gerizimu, akapaza sauti yake, akapiga kelele, na kuwaambia, Nisikieni mimi, enyi watu wa Shekemu, ili Mungu naye apate kuwasikia ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo