Methali 26:1 - Swahili Revised Union Version1 Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Kama theluji wakati wa joto, na mvua wakati wa mavuno; Kadhalika heshima haimpasi mpumbavu. Tazama sura |