Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 25:19 - Swahili Revised Union Version

19 Kumtumaini asiye mwaminifu wakati wa taabu Ni kama jino lililovunjika, au mguu ulioteguka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kumtegemea mtu asiyeaminika wakati wa taabu, ni kama jino bovu au mguu ulioteguka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kumtegemea mtu asiyeaminika wakati wa taabu, ni kama jino bovu au mguu ulioteguka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kumtegemea mtu asiyeaminika wakati wa taabu, ni kama jino bovu au mguu ulioteguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa, ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa, ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Kumtumaini asiye mwaminifu wakati wa taabu Ni kama jino lililovunjika, au mguu ulioteguka.

Tazama sura Nakili




Methali 25:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito, Ni kama yeye avuaye nguo wakati wa baridi; Ni kama siki juu ya magadi.


Kwa maana msaada wa Misri haufai kitu na ni bure; Kwa hiyo nimemwita, “Rahabu aketiye kimya”.


Tazama, unaitumainia fimbo ya mwanzi huu uliovunjika, yaani, Misri, ambayo, mtu akitegemea juu yake, humwingia mkononi na kumchoma; ndivyo alivyo Farao, mfalme wa Misri, kwa wote wamtumainio.


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo