Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:32 - Swahili Revised Union Version

32 Ndipo nilipoangalia na kufikiri sana; Niliona, nikapata mafundisho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Nilitazama, nikawaza, mwishowe nikapata funzo:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Nilitazama, nikawaza, mwishowe nikapata funzo:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Nilitazama, nikawaza, mwishowe nikapata funzo:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona, nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona, nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Ndipo nilipoangalia na kufikiri sana; Niliona, nikapata mafundisho.

Tazama sura Nakili




Methali 24:32
12 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mtu ni kitu gani, hata ukamtukuza, Na kumtia moyoni mwako,


Muwe na hofu wala msitende dhambi, Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.


Kumbe! Lote pia limemea miiba; Uso wake ulifunikwa kwa viwawi; Na ukuta wake wa mawe umebomoka.


Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!


Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.


Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.


Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.


Wanaume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako; na Israeli wote watasikia na kuogopa.


Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo