Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:7 - Swahili Revised Union Version

7 Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwenye kupooza) Inuka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako.


Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo