Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:19 - Swahili Revised Union Version

19 Yesu Akaondoka, akamfuata, pamoja na wanafunzi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Isa akaondoka akafuatana naye, nao wanafunzi wake pia wakaandamana naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Isa akaondoka akafuatana naye, nao wanafunzi wake pia wakaandamana naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Yesu Akaondoka, akamfuata, pamoja na wanafunzi wake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Nitakuja, nimponye.


Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi.


Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.


habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye akazunguka huku na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo