Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:12 - Swahili Revised Union Version

12 Naye aliposikia, aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Yesu aliwasikia, akasema, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Yesu aliwasikia, akasema, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Yesu aliwasikia, akasema, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Lakini Isa aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Lakini Isa aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Naye aliposikia, aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.


Nami nilisema, BWANA, unifadhili, Uniponye roho yangu maana nimekutenda dhambi.


BWANA, unifadhili, maana ninanyauka; BWANA, uniponye, mifupa yangu imefadhaika.


Uniponye, Ee BWANA, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.


Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya majeraha yako, asema BWANA, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, mji ambao hakuna mtu autakaye.


Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.


Je! Hakuna marhamu katika Gileadi? Huko hakuna tabibu? Mbona, basi, haijarejea afya ya binti ya watu wangu?


Mimi nitawaponya kurudi nyuma kwao; nitawapenda kwa ukunjufu wa moyo; kwa maana hasira yangu imemwacha.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]


Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa; sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.


Yesu akajibu akawaambia, Wenye afya hawana haja na tabibu, isipokuwa walio wagonjwa.


Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,


Na makutano walipojua walimfuata; akawakaribisha, akawa akisema nao habari za ufalme wa Mungu, akawaponya wale wenye haja ya kuponywa.


Luka, yule tabibu mpendwa, na Dema, wanawasalimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo