Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 8:27 - Swahili Revised Union Version

27 Wale watu wakamaka wakisema, Huyu ni mtu wa namna gani hata pepo na bahari zamtii?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Wale watu wakashangaa, wakisema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Wale watu wakahamaki wakisema, Huyu ni mtu wa namna gani hata pepo na bahari zamtii?

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:27
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


hata ule mkutano wakastaajabu, walipowaona mabubu wanasema, vilema wanakuwa wazima, viwete wanakwenda, na vipofu wanaona; wakamtukuza Mungu wa Israeli.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Naye alipofika ng'ambo, katika nchi ya Wagadara, watu wawili wenye pepo walikutana naye, wakitoka makaburini, wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile.


Wakashangaa wote, hata wakaulizana, wakisema, Nini hii? Ni elimu mpya! Maana kwa uweza awaamuru hata pepo wachafu, nao wamtii!


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


wakashangaa mno kupita kiasi, wakinena, Ametenda mambo yote vema; viziwi awafanya wasikie, na bubu waseme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo