Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 6:15 - Swahili Revised Union Version

15 Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe nyinyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe nyinyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe nyinyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Lakini msipowasamehe watu wengine makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Lakini msipowasamehe watu wengine makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 6:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.


Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]


Tufuate:

Matangazo


Matangazo