Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 5:17 - Swahili Revised Union Version

17 Msidhani ya kuwa nilikuja kuitangua Torati au Manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 “Msidhani kwamba nimekuja kufuta Torati au Manabii; sikuja kuondoa bali kutimiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 “Msidhani kwamba nimekuja kufuta Torati au Manabii; sikuja kuondoa bali kutimiza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Msidhani ya kuwa nilikuja kuitangua Torati au Manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:17
16 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha.


Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Ndipo akakubali.


Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii.


Lakini ni rahisi zaidi mbingu na nchi vitoweke, kuliko itanguke nukta moja ya torati.


Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake kama hawa; nawe wasemaje?


wakisema Mtu huyu huwashawishi watu ili wamwabudu Mungu kinyume cha sheria.


wakapiga kelele, na kusema, Enyi wanaume wa Israeli, tusaidieni. Huyu ndiye mtu yule afundishaye watu wote kila mahali kinyume cha taifa letu na torati na mahali hapa. Tena, zaidi ya haya, amewaingiza Wagiriki katika hekalu, akapatia unajisi mahali hapa patakatifu.


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;


Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki.


Basi, je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? La hasha! Kinyume cha hayo twaithibitisha sheria.


ili maagizo ya torati yatimizwe ndani yetu sisi, tusioenenda kwa kufuata mambo ya mwili, bali mambo ya roho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo