Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:7 - Swahili Revised Union Version

7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Yesu akamwambia, “Imeandikwa pia: ‘Usimjaribu Bwana, Mungu wako.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Isa akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Mwenyezi Mungu, Mungu wako.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Isa akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mwenyezi Mungu wako.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:7
21 Marejeleo ya Msalaba  

Bali walitamani sana nyikani, Wakamjaribu Mungu jangwani.


Wakamjaribu Mungu mioyoni mwao Kwa kutaka chakula kwa tamaa zao.


Wakamjaribu Mungu tena na tena; Na kumkasirisha Mtakatifu wa Israeli.


Lakini walimjaribu Mungu Aliye Juu, wakamwasi, Wala hawakuzishika shuhuda zake.


Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu.


Kwa hiyo hao watu wakamgombeza Musa, wakasema, Tupe maji tunywe. Musa akawaambia, Kwa nini mnanigombeza? Mbona mnamjaribu BWANA?


Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo?


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Na sasa twasema ya kwamba wenye kiburi ndio walio heri; naam, watendao uovu ndio wajengwao; naam, wamjaribuo Mungu ndio waponywao.


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;


wakamwambia, Wasikia hawa wasemavyo? Yesu akawaambia, Naam; hamkupata kusoma, Kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umejiandalia sifa?


Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni la ajabu machoni petu?


Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.


Basi sasa mbona mnamjaribu Mungu na kuweka kongwa juu ya shingo za wanafunzi, ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba.


Petro akamwambia, Imekuwaje hata mkapatana kumjaribu Roho wa Bwana? Angalia, miguu yao waliomzika mumeo ipo mlangoni, nao watakuchukua nje wewe nawe.


Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.


Msimjaribu BWANA, Mungu wenu, kama mlivyomjaribu huko Masa.


Hapo baba zenu waliponijaribu, wakanipima, Wakaona matendo yangu miaka arubaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo