Mathayo 26:37 - Swahili Revised Union Version37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kusononeka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI37 Akamchukua Petro na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kusononeka. Tazama sura |