Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 25:27 - Swahili Revised Union Version

27 basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Vyema basi, ingekupasa kuweka fedha yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo yangu na faida yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Vyema basi, ingekupasa kuweka fedha yangu kwa watoa riba, ili nirudipo, nichukue ile iliyo yangu na faida yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:27
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibu wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno yote maovu ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo