Mathayo 23:2 - Swahili Revised Union Version2 Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Waalimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Waalimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Waalimu wa sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua sheria ya Mose. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Walimu wa Torati na Mafarisayo wameketi kwenye kiti cha Musa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Walimu wa Torati na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa; Tazama sura |