Mathayo 21:43 - Swahili Revised Union Version43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 “Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 “Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 “Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 “Kwa hiyo ninawaambia, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 “Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mwenyezi Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake. Tazama sura |