Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:29 - Swahili Revised Union Version

29 Naye akajibu akasema, Siendi, lakini baadaye akatubu akaenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yule kijana akamwambia, ‘Sitaki!’ Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yule kijana akamwambia, ‘Sitaki!’ Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yule kijana akamwambia, ‘Sitaki!’ Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitaenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Yule mwanawe akamjibu ‘Mimi sitakwenda.’ Baadaye akabadili mawazo yake akaenda.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Naye akajibu akasema, Siendi, lakini baadaye akatubu akaenda.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:29
19 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akamwambia Haruni hayo maneno yote ya BWANA ambayo alimtuma aende nayo, na ishara hizo zote alizomwagiza.


Neno lile ulilotuambia kwa jina la BWANA, sisi hatutakusikiliza.


Ondoka, uende Ninawi, mji ule mkubwa; ukaihubiri habari nitakayokuamuru.


Naye akamwambia, Siendi mimi; ila nitairudia nchi yangu mwenyewe, na kwa jamaa zangu mwenyewe.


Lakini mnaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili; akamwendea yule wa kwanza, akasema, Mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.


Akamwendea yule wa pili, akamwambia vile vile. Naye akajibu akasema, Naenda Bwana; lakini hakuenda.


Je! Katika hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya babaye? Wakamwambia, Ni yule wa kwanza. Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.


bali kwanza niliwahubiria wale wa Dameski na Yerusalemu, na katika nchi yote ya Yudea, na watu wa Mataifa, kwamba watubu na kumwelekea Mungu, wakiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwao.


Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo