Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:22 - Swahili Revised Union Version

22 Na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lolote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.


Basi ikiwa ninyi, mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu zawadi njema, je! Si Baba yenu aliye mbinguni atawapa mema zaidi wao wamwombao?


Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;


Kwa sababu hiyo nawaambia, Yoyote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.


Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.


Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo nanyi mtatendewa.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Basi ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Sala yake mwenye haki ina nguvu nyingi, na hutenda mengi.


na lolote tuombalo, tunalipokea kwake, kwa kuwa tunazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo