Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:20 - Swahili Revised Union Version

20 Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara?

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, Yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.


Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng'oka, ukatupwe baharini, litatendeka.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo