Mathayo 21:20 - Swahili Revised Union Version20 Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara? Tazama sura |