Mathayo 20:5 - Swahili Revised Union Version5 Akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vile vile. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Hivyo basi wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa hiyo wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vile vile. Tazama sura |