Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:17 - Swahili Revised Union Version

17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Basi Isa alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwaita kando wale wanafunzi kumi na wawili na kuwaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Basi Isa alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua kando wale wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasema, Je! Nimfiche Abrahamu jambo ambalo ninataka kulifanya,


Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani?


Nayo kesho yake watu wengi walioijia sikukuu walisikia ya kwamba Yesu anakuja Yerusalemu;


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.


si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo