Mathayo 20:17 - Swahili Revised Union Version17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Yesu alipokuwa anakwenda juu Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Basi Isa alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwaita kando wale wanafunzi kumi na wawili na kuwaambia, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Basi Isa alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua kando wale wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia, Tazama sura |